Posts

Showing posts from August, 2026
  Hesabu 23:19 inasema: “ Mungu si mtu, aseme uongo; wala si mwanadamu, ajute. Je! Yeye alisema, naye hatalitenda? Au amenena, naye hatalitimiza ?” Maana yake kwa ufupi Aya hii inatufundisha kwamba Mungu ni mwaminifu na habadiliki kama wanadamu . Anaposema jambo, ana uwezo na uaminifu wa kulitenda na kulitimiza.