Hesabu 23:19 inasema:
“Mungu si mtu, aseme uongo; wala si mwanadamu, ajute. Je! Yeye alisema, naye hatalitenda? Au amenena, naye hatalitimiza?”
Maana yake kwa ufupi
Aya hii inatufundisha kwamba Mungu ni mwaminifu na habadiliki kama wanadamu. Anaposema jambo, ana uwezo na uaminifu wa kulitenda na kulitimiza.
Comments